YANGA YAMTIMUA KOCHA EYMAEL KWA KAULI ZA UBAGUZI...ATAKIWA KUONDOKA HARAKA TANZANIA


Klabu ya Yanga  imemfuta kazi kocha wake EymaelLuc na kuhakikisha anaondoka haraka nchini kutokana na kauli zisizo za kiungwana na kibaguzi alizozitoa na kusambaa katika mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari.






Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527