Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Grace Anthony Lyon mkazi wa Majengo Mapya Manispaa ya Shinyanga akionesha fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kuchukua katika ofisi za CCM wilaya ya Shinyanga Mjini leo Jumanne Julai 14,2020. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako