BANDORA MILAMBO AJITOSA KINYANG'ANYIRO CHA UBUNGE JIMBO LA SHINYANGA MJINI


Mfanyabiashara Bandora Salum Milambo mkazi wa Ngokolo Manispaa ya Shinyanga akionesha fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kuchukua katika ofisi za CCM wilaya ya Shinyanga Mjini leo Jumanne Julai 14,2020. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527