DKT HUSSEIN MWINYI APITISHWA NA CCM KUWA MGOMBEA WA URAIS WA ZANZIBAR

Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM  umempitisha Dkt Hussein Mwinyi kuwa mgombea wa Urais wa Zanzibar baada ya kupata kura 129 sawa na asilimia 78.65 akiwashinda Shamsi Vuai Nahodha  na Dk Khalid Salim Mohamed.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527