WAGONJWA WA CORONA NCHINI KENYA WAFIKA 649


Visa vya maambukizi ya Virusi vya Corona nchini Kenya vimeongezeka na kufikia 649, baada ya hii leo kutangaza visa vipya 28. 


Aidha idadi ya vifo navyo imeongezeka na kufikia 30, huku waliopona wakifikia 207.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527