Breaking News : RAIS MAGUFULI AMTEUA MWIGULU NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  amemteua Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria ambapo Uteuzi huo umeanza leo Jumamosi Mei 2,2020

Dkt. Mwigulu Nchemba ambaye amewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani anachukua nafasi ya Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga aliyefariki dunia jana Mei 1,2020.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post