MSANII IDRIS SULTAN AFIKISHWA MAHAKAMANI
Wednesday, May 27, 2020
Msanii Idris Sultan amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusomewa mashtaka yanayomkabili baada ya kushikiliwa na Polisi kwa takriban siku nane.
Katika viunga vya mahakama hiyo ameonekana mwanasheria wa msanii huyo, Benedict Ishabakakiba, baba yake Idris na watu wengine
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin