MSANII IDRIS SULTAN AFIKISHWA MAHAKAMANI


Msanii Idris Sultan  amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusomewa mashtaka yanayomkabili baada ya kushikiliwa na Polisi kwa takriban siku nane. 

Katika viunga vya mahakama hiyo ameonekana mwanasheria wa msanii huyo, Benedict Ishabakakiba, baba yake Idris na watu wengine




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527