KAMATI KUU CHADEMA YAFANYA VIKAO VYAKE KWA NJIA YA MTANDAO


Kamati Kuu ya CHADEMA leo May 09,2020 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa,Freeman Mbowe, imeanza vikao vyake vya ki-digitali (CHADEMA Digital), vikao vitajadili agenda mbalimbali ikiwemo hali ya corona na Siasa nchini na kufikia maazimio ambayo yatatolewa kwa umma baada ya vikao kukamilika.







Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527