Dereva mwingine wa Lori kutoka Tanzania akutwa na corona Uganda

Wizara ya Afya Uganda imesema Dereva mwingine wa Lori kutoka Tanzania (32) amebainika kuwa na corona na kufanya maambukizi ya corona Uganda kufikia 101 kutoka 100.

 Dereva huyo aliingia Uganda kupitia mpaka wa Mutukula, waliopona corona Uganda wamesalia 55 na hakuna kifo.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments