ZITTO KABWE AACHIWA HURU KWA SHARTI LA KUTOTOA MANENO YA UCHOCHEZI


Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe ameachiwa huru  na Mahakama ya Kisutu kwa sharti kwamba asitoe matamshi ya uchochezi katika kipindi cha mwaka mmoja.


Katika kesi hiyo   ya uchochezi,  Zitto Kabwe  alikuwa anatuhumiwa kutoa maneno ya uchochezi yenye kuleta hisia ya hofu na chuki  akiwa katika mkutano na waandishi wa habari, uliofanyika katika makao makuu ya ofisi ya Chama cha ACT –Wazalendo Oktoba 28, 2018


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527