WENYE VIRUSI VYA CORONA ZANZIBAR WAFIKA 24....NI BAADA YA WENGINE 6 KUONGEZEKA LEO


Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza ongezeko la wagonjwa wapya 6 wa virusi vya Corona, idadi inayofanya kufikia wagonjwa 24 visiwani humo.





Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post