WENYE VIRUSI VYA CORONA NCHINI UGANDA WAFIKA 79

Wizara ya Afya nchini Uganda imetangaza ongezeko la visa vipya 4 vya maambukizi ya COVID-19 baada ya kufanya vipimo vya sampuli 1578

Wote ni Watanzania ambao ni madereva wa malori walioingia kupitia mpaka wa Mutukula.

 Idadi ya wagonjwa wa COVID-19 nchini humo sasa ni 79.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post