TAKUKURU SHINYANGA YAOKOA MILIONI 118.8 KUTOKA VYAMA VYA USHIRIKA NA SACCOS...YATAHADHARISHA WANAOJIITA MAAFISA WA TAKUKURU


Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga Hussein Mussa akizungumza na waandishi wa habari Mjini Shinyanga leo Jumatano Aprili 22,2020 ambapo amesema TAKUKURU mkoa wa Shinyanga imeokoa Tsh. Milioni 118,851,957/= kutoka Vyama vya Ushirika na Saccos.

Aidha ametahadharisha wananchi kuchukua tahadhari juu ya matapeli wanaojifanya kuwa ni maafisa wa TAKUKURU hivyo wananchi watoe taarifa katika ofisi ya TAKUKURU iliyo karibu pale wanapomtilia mashaka mtu anayejitambulisha kwao kuwa ni Afisa wa TAKUKURU.












Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga Hussein Mussa akizungumza na waandishi wa habari Mjini Shinyanga leo Jumatano Aprili 22,2020

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527