ROSE NDAUKA AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE HAFFIYY MKONGWA


Muigizaji wa filamu za Bongo Movie, Rose Ndauka ameingia rasmi kwenye maisha ya ndoa na aliyekuwa mchumba wake wa muda mrefu anayefahamika kwa jina la Haffiyy Mkongwa.



Rose amefunga ndoa ya siri iliyohusisha watu wachache tu wa familia za wawili hao kutokana na kuwepo hatari ya mlipuko wa Ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527