Live : MAOMBI YA KITAIFA DHIDI YA JANGA LA CORONA

Waziri  Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, leo Aprili 22, 2020, anaongoza Taifa zima katika maombi maalum ya kuliombea taifa dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu (COVID-19) inayosababishwa na virusi vya corona.


Maombi hayo yameandaliwa na wizara ya afya kwa kushirikiana na viongozi wa madhehebu ya dini nchini, na yanafanyika katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam 




Credit: Global Tv

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527