DUDU BAYA AITWA TENA KUHOJIWA BASATA


Baraza la sanaa Taifa (Basata)  limemuandikia barua  mwimbaji maarufu nchini, Godfrey Tumaini 'Dudubaya' kumuita ili kwenda kujieleza  kutokana na kutumia lugha isiyo ya staha kwenye mitandao ya kijamii.

Dudubaya anatakiwa kuripoti keshokutwa Jumanne kwenye ofisi za makao makuu ya Baraza hilo.

Mwimbaji huyo ameiposti barua hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram na kukubali wito huo siku ya Jumanne.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post