GODBLESS LEMA AACHIWA KWA DHAMANA


Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema ameachiwa kwa dhamana leo, wakili wake Fredy Kalonga amethibitisha. 


Lema alishikiliwa na polisi mkoani Singida tangu Jumatatu Machi 2, 2020 kwa tuhuma ya upotoshaji wenye lengo la kulichonganisha jeshi hilo na wananchi

Ametakiwa kuripoti tena Machi 24, 2020.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post