DEREVA ALIYEMBEBA MGONJWA WA CORONA APATIKANA


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema Dereva tax aliyembeba  mgonjwa wa Corona amepatikana na kuchukuliwa sampuli kwa ajili ya kutumwa Dar es Salaam ili kuona kama na yeye aliambukizwa virusi hivyo hatari vya Corona.

“Tunatafuta mtandao mzima ambao mgonjwa huyo wa Corona(Isabella) alishirikiana nao

 "Tumempata Dereva na sampuli yake imepelekwa Maabara, baada ya kumshusha mgonjwa alienda nyumbani akawa na Mke na Watoto , Watoto wakaenda shuleni, Dereva alipata pia wateja wengine”- Amesema Mrisho Gambo.

Msikilize hapo chini


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527