WANAJESHI WA SYRIA WANAOSAIDIWA NA URUSI WAKAMATA MAENEO ZAIDI KUTOKA NGOME YA WAASI WANAOUNGWA MKONO NA UTURUKI


Mashambulizi makali ya angani ya vikosi vya serikali ya Syria yamewauwa karibu watu watatu leo kaskazini mashariki mwa Syria, ambako vijiji kadhaa, zikiwemo ngome kuu za waasi katika eneo la mwisho linalodhibitiwa na upinzani, vimekamatwa katika siku chache zilizopita.

Machafuko hayo yamekuja wakati ujumbe wa Urusi ukitarajiwa kuwasili leo nchini Uturuki kuanzisha tena mazungumzo yanayolenga kupunguza mvutano katika mkoa wa kaskazini magharibi wa Idlib. 

Zaidi ya watu 900,000 wamekimbia makazi yao katika karibu miezi mitatu.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527