WAZIRI SIMBACHAWENE AKUTANA NA WATENDAJI WAKUU WA JESHI LA POLISI
Wednesday, February 19, 2020
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene(kushoto) akimfafanulia jambo Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP),Simon Sirro, leo February 19, 2020 wakati wa majadiliano ya Utendaji Kazi wa Jeshi la Polisi Nchini.
Simbachawene ameanza ziara ya kuzitembelea Taasisi mbalimbali za Wizara hiyo.
Picha: Jeshi la Polisi
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin