BASI LA KAMPUNI YA PREMIER LAGONGANA NA LORI


Basi la kampuni ya Premier linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Mbeya limegongana uso kwa na lori lenye namba za usajili T486 ANU ambalo lilikuwa likivuta tela lenye namba T 775 APT.


Daktari wa Kitengo cha Dharura katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya Dakta Olivia Masoi amethibitisha kupokea majeruhi 10 wa ajali hiyo, ambapo amesema watu 2 waliodhaniwa kuwa wamekufa katika eneo la Ajari wako hai


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post