NDEGE MPYA YA TANZANIA KUTUA JIJINI MWANZA LEO MCHANA


Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imekamatwa nchini Canada itawasili nchini leo Jumamosi Desemba 14, 2019 katika Uwanja wa Ndege jijini Mwanza.

Akizungumza na waandishi wa habari jana  Ijumaa Desemba 13, 2019, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amesema ndege hiyo itapokewa saa 8 jioni.

Amewaomba wananchi wa ndani na nje ya mkoa huo kujitokeza kwa wingi kushuhudia tukio hilo.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527