MSANII BEKA FLAVOUR AMTUNGIA WIMBO RAIS MAGUFULI 'HAPA KAZI TU'
Anonymous-
Msanii wa Bongo Fleva, Beka Flavour ametunga wimbo maalum kwa ajili ya Rais John Magufuli na Chama chake cha CCM kwa ajili ya mambo mazuri aliyoyafanya tangu alipoingia Madarakani.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527