MAMA SALMA KIKWETE ATUA BURUNDI KUHUDHURIA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WANAWAKE VIONGOZI


Mke wa Rais Mstaafu na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mhe. Mama Salma Kikwete jana ameungana na Viongozi mbalimbali Wanawake katika hafla ya kuelekea Mkutano wa Kimataifa wa Wanawake Viongozi unaofanyika nchi Burundi huku mwenyeji wa Mkutano huu akiwa ni Mke wa Rais wa Burundi Mhe Denise Nkurunziza

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527