Korea kaskazini imerusha makombora 2 ya masafa mafupi katika bahari ya mashariki.
Taarifa zilizotolewa na jeshi la Korea kusini inasema majaribio ya makombora mawili yalifanyika mashariki mwa Korea kaskazini.
Makombora hayo yaliyofikia kimo cha kilomita 48 baada ya kusafiri umbali wa kilomita 400 yalianguka bahari ya mashariki.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527