KOREA KASKAZINI YARUSHA MAKOMBORA ZAIDI
Saturday, August 10, 2019
Korea kaskazini imerusha makombora 2 ya masafa mafupi katika bahari ya mashariki.
Taarifa zilizotolewa na jeshi la Korea kusini inasema majaribio ya makombora mawili yalifanyika mashariki mwa Korea kaskazini.
Makombora hayo yaliyofikia kimo cha kilomita 48 baada ya kusafiri umbali wa kilomita 400 yalianguka bahari ya mashariki.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin