TFF YAMTUMBUA AMUNIKE STARS

Shirikisho la Soka Nchini Tanzania limetangaza kuachana na kocha wa timu ya taifa Taifa Stars Emmanuel Amunike mara baada ya kufikia makubaliano ya pamoja kwa pande zote mbili kusitisha mkataba baina yao. 

Taarifa ya Shirikisho la Kabumbu Nchini Tanzania kwenda kwa vyombo vya Habari inasema kuwa Kocha atakayeiongoza Stars katika michezo ya CHAN atatangazwa hivi karibuni. 
Makocha wa muda watangazwa baada ya kamati ya Dharura ya kamati ya utendaji (Emergency Committee) itakapokutana Julai 11,2019. 

Huku mchakato wa kumpata Kocha mpya ukiwa umeanza mara moja.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post