NSSF NA PSSSF WASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA SABASABA KWA PAMOJA

Meneja Kiongozi wa Uhusiano na Elimu kwa Umma wa NSSF Bi Lulu Mengele akitoa  elimu kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na NSSF katika banda la NSSF  na PSSSF katika maonesho ya kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika
viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa.
Afisa Uhusiano wa NSSF Bi Aisha Sango akitoa ufafanuzi kwa mgeni alietembelea banda la NSSF na PSSSF katika maonesho yanayoendelea ya kimataifa ya  Sabasaba katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa.
Meneja Kiongozi wa Uhusiano na Elimu kwa Umma wa NSSF Bi Lulu Mengele akitoa  elimu kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na NSSF katika banda la NSSF  na PSSSF katika maonesho ya kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika
viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa.
Afisa matekelezo wa NSSF Ndugu Abdulaziz Abeid akitoa ufafanuzi kwa mgeni  alietembelea banda la NSSF na PSSSF katika maonesho yanayoendelea ya  kimataifa ya Sabasaba katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa.
Maafisa Uhusiano wa NSSF (Aisha Sango, Kushoto na Amani Marcel, Katikati) na  wa PSSSF (Coleta Mnyamani) wakitoa elimu kwa wageni mbalimbali kuhusu  huduma mbalimbali zitolewazo na Mifuko hiyo katika maonesho ya  kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere  barabara ya Kilwa.
Afisa Uhusiano wa PSSSF ndugu Abdul Njaidi akitoa ufafanuzi kwa mgeni  aliyetembelea banda la NSSF na PSSSF katika maonesho yanayoendelea ya  kimataifa ya Sabasaba katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya 
Kilwa.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527