MAONESHO YA 43 YA BIASHARA YA KIMATAIFA KUFUNGULIWA

 Afisa Mwandamizi wa Malipo, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma,(PSSSF), Bi.Nyangi Masalu (kulia), akimuhudumia aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Kuendeleza Biashahara Nchini (Tan Trade), ambaye sasa ni Mstaafu na Mwanachama wa PSSSF, Bi.Jacqueline Mneney Maleko (kushoto), alipofika kwenye banda namba 13 la PSSSF/NSSSF viwanja vya Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi hii leo Julai 2, 2019.
Afisa Matekelezo Mwandamizi wa PSSSF, Bw. Donald Peter Maeda (kulia), akimsikiliza Mwanachama huyu aliyefika banda la Mfuko kupatiwa huduma.
 Mkurugenzi wa banda la PSSSF Bi.Eunice Chiume (kushoto), akimsikiliza Mwanachama wa Mfuko huo, aliyetembelea banda hilo kupatiwa huduma.
Muonekano wa banda namba 13 la PSSSF.
 Afisa Matekelezo PSSSF, Bi. Getrude Athanas (kulia), akimuhudumia Mwanachama wa Mfuko aliyefka yeye na familia yake kwenye banda la PSSSF ambalo linatumika kwa ushirikiano na NSSSF.
 Afisa Matekelezo PSSSF, Bi. Getrude Athanas (kulia), akimuhudumia Mwanachama wa Mfuko aliyefka yeye na familia yake kwenye banda la PSSSF ambalo linatumika kwa ushirikiano na NSSSF.
Afisa Uhusiano Mwandamizi PSSSF, Bw. Abdul Njaidi (aliyekaa), kwa kushirikiana na Afisa Mafao, wa Mfuko Bw. Salvatory Matemu kutafuta taarifa za michango ya Mwanachama (hayupo pichani).
Afisa Uhusiano Mwandamizi PSSSF, Bw. Abdul Njaidi (kushoto) na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Bw. Sebera Fulgence wakibadilishana mawazo wakati Bw. Sebera ambaye ni Mwanachama wa PSSSF alipotembelea banda la Mfuko kupata taarifa za michango yake.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527