Picha : MDAU WA BLOG ZA KIJAMII MABULA KUTOKA NHIF TANGA AACHANA NA UKAPERA



Mdau wa Blog za Kijamii Peter Mabula kutoka ofisi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) kushoto akiwa na Mkewe Jenipher Peter wakiingia kwenye Ukumbi wa Regail Naivera mara baada ya kufunga ndoa kwenye Kanisa Katoliki la St.Anthony Chumbageni Jijini Tanga
Mdau wa Blog za Kijamii Peter Mabula kutoka ofisi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) wa pili kutoka kushoto akiwa na Mkewa Janipher Peter wakiwa na wasimamizi wao.
Mdau wa Blog za Kijamii Peter Mabula kutoka ofisi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) wa pili kutoka kushoto akiwa na Mkewa Janipher Peter wakiwa na wazazi na ndugu.
Mdau wa Blog za Kijamii Peter Mabula kutoka ofisi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) wa pili kutoka kushoto akiwa na Mkewa Janipher Peter wakiwa na wanafamilia.
Sehemu ya wageni waliokuwepo kwenye Sherehe hiyo ya harusi hiyo kulia ni Mhandisi Geofrey Hilly ambaye ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa).
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu katika aliyevaa suti akiwa na watumishi wa Mfuko huo wakati wa sherehe ya Harusi ya mtumishi mwenzao Peter Mabula.
Alawi Kupaza wa NHIF Tanga akitoka kumpongeza Bwana Harusi.
Wafanyakazi wanzake na Peter Mabula wakimpongeza.
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu akitoa nasaha kwa Bwana Harusi Peter Mabula kushoto ni Mhasibu wa NHIF Mkoa wa Tanga Hellena Manyanda.
Msimamizi wa NHIF Ofisi ya Tanga Dinna Mlwilo akizungumza wakati wa sherehe hiyo kulia ni Maneja wa NHIF Mkoa wa Tanga Ally Mwakababu 
Mhasibu wa NHIF Hellena Manyanga akiwa na watumishi wenzake

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527