WAKALA WA CIA ANYONGWA NCHINI IRAN

Taarifa iliyotolewa na mahakama ya kijeshi nchini Iran inasema adhabu ya kunyongwa hadi kufa aliyopewa jasusi wa CIA na Marekani,Jalal Haji Zevar imetekelezwa katika gereza la Recai Shar lililopo kerec kaskazini magharibi mwa Tehran.


Taarifa hio inasema kwamba Zevar aliachishwa kazi mwaka 2010 na kufunguliwa mashitaka ya ujasusi, kutokana na uthibitisho uliotolewa pamoja na kukiri kwake makosa alihukumiwa adhabu ya kifo.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527