CAF YATHIBITISHA RASMI TANZANIA KUPELEKA CLUB NNE MICHUANO YA KIMATAIFA 2019/2020


Shirikisho la soka Afrika CAF limetangaza rasmi kuwa Tanzania kuanzia msimu wa 2019/2020 itaanza kupeleka vilabu vinne katika michuano ya kimataifa inayoandaliwa na shirikisho hilo na sio timu mbili kama ilivyokuwa awali.

Tanzania imepata nafasi hiyo baada ya vilabu vyake kufanya vizuri kwa miaka ya hivi karibuni, kiasi cha kusababisha Tanzania kupata point nyingi zilizoiwezesha kupata nafasi hiyo, sasa katika michuano ya CAF Champions League itapeleka timu mbili msimu ujao na michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika litapeleka timu mbili pia.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post