BETHEL MISSION SCHOOL YATOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANANCHI


Mkurugenzi wa Bethel Mission School, Emmanuel Mshana, akitoa hotuba ya utangulizi, kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua mafunzo ya Ujasiriamali kwa ajili ya wafanyakazi wa shule hiyo pamoja wananchi kutoka maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, Leo. Semina hiyo ya siku tano itakayohusu mafunzo ya ujasiriamali yanafanyika kwenye viwanja vya Shule hiyo iliyopo Manispaa ya Ubungo ambazo zaidi ya washiriki 450 wamehudhuria.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Manisapaa ya Ubungo, Jaffari Kunambi, akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina hiyo ya wajasiriamali iliyoandaliwa na Bethel Mission School 
jijini Dar es Salaam.
Meneja Biashara wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe, George Yatera, akitoa mada katika semina ya wajasiriamali iliyoandaliwa na Bethel Mission School jijini Dar es Salaam.
Meneja Biashara wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe, George Yatera, akitoa mada katika semina ya wajasiriamali iliyoandaliwa na Bethel Mission School jijini Dar es Salaam. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527