ZARI AFIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU DR. REGINALD MENGI KUTOA POLE ZA MSIBA


Mfanyabiashara na Mwanamitindo Zari Hasan @zarithebosslady ambaye ni raia wa Uganda amekuwa miongoni mwa watu waliofika nyumbani kwa marehemu Dr. Reginald Mengi
Kinondoni Dar es Salaam kutoa pole na kusaini kitabu cha maombolezo leo Mei 4,2019.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post