SIKU YA WAFANYAKAZI(MEI MOSI) MKOA WA ARUSHA YAPENDEZA


Wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira jiji la Arusha(Auwsa) wakiwa kwenye maandamano ya kuadhimisha siku ya Mei Mosi jijini Arusha. 
Wafanyakazi wa Mfuko wa Bima ya Afya mkoa wa Arusha wakiwa kwenye maandamano ya kuadhimisha siku ya Mei Mosi jijini Arusha 
Wafanyakazi wa benki ya TIB Corporate wakiwa kwenye maandamano ya kuadhimisha siku ya Mei Mosi jijini Arusha. 
Wafanyakazi wa kampuni ya Lodhia wakiwa na furaha wakati wa maadhimisho ya Mei Mosi 2019. 
Mkuu wa wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha,Idd Kimanta akimkabidhi kombe la ushindi katika michezo ya Mei Mosi 2019,Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha,Jonathan Shanna. 
Wafanyakazi wa kiwanda cha A to Z wakifurahia ushindi wa kwanza 
Viongozi jukwaa kuu wakiimba wimbo wa mshikamano. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527