![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjGs7IL32XkNPR8dGTm4dzoTH-EU5FEvCimVHWSRZ8RzU108vBQ_UVxXCifkWhUNIaIMi8JZZ_jo8xeTFub6mQvmBcpb6DShdglrpb3QBKYU4jYyedT5DP1dtztuyb5NGR64utJ9kHVqbM/s1600/ray-9.png)
Chuchu amefunguka hilo leo kupitia ukurasa wake wa Instagram wakati akimtakia heri ya siku ya kuzaliwa mzazi mwenzake huyo.
“Happy Birthday baba @jadenthegreatest baba mwenye jeuri zako baada ya kupata mtoto ukajiona baba mpk wa watoto wakubwa waliokomaa😊 Ramadhani iii No matter what Nakutakia Happy Birthday MUNGU azidi kukuweka inshaalah uje mleane na mwanao sina zawadi kubwa zawadi yangu ni @jadenthegreatest na natumai ni zawadi ya milele na yenye historia kwako..Enjoy ur day@raythegreatest @raythegreate“ Ameandika