MASAUNI: HAKUNA USHAHIDI WA AJALI ILIYOSABABISHWA NA TRAFIKI KUVIZIA BARABARANI
Anonymous-
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema hakuna ushahidi wowote unaoonesha kuwa kumetokea ajali iliyosababishwa na askari wa usalama barabarani 'kujificha' wakiwa barabarani.
==>>Msikilize hapo chini
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527