MASAUNI: HAKUNA USHAHIDI WA AJALI ILIYOSABABISHWA NA TRAFIKI KUVIZIA BARABARANI


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema hakuna ushahidi wowote unaoonesha kuwa kumetokea ajali iliyosababishwa na askari wa usalama barabarani 'kujificha' wakiwa barabarani.

==>>Msikilize hapo chini


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527