Breaking News !! RAIS MAGUFULI ATUMBUA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI


Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, Kazimbaya Makwega na mwenzake wa Wilaya ya Uyui mkoani Tabora, Hadija Makuwani.

Rais Magufuli ametengua uteuzi wa wakurugenzi hao kuanzia leo Mei 16, 2019 na uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri hizo watateuliwa baadaye.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post