WAANDISHI WA HABARI RADIO ZA KIJAMII WATEMBELEA OFISI ZA IDARA YA HABARI - MAELEZO DODOMA

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari –MAELEZO anayeshughulikia Habari na Picha, Rodney Thadeus (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Waaandishi wa Habari za Radio za Kijamii walipotembelea Idara ya Habari –MAELEZO kwa lengo la kujifunza leo Jijini Dodoma. Waandishi hao wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wa utendaji kazi wao. (Picha na Frank Shija)
 Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari –MAELEZO anayeshughulikia Habari na Picha, Rodney Thadeus akizungumza na Waaandishi wa Habari wa Redio za Kijamii walipotembelea kujifunza shughuli za Idara ya Habari leo Jijini Dodoma. Waandishi hao wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wa utendaji kazi wao. Kutoka kulia ni Mkufunzi wa Mafunzo hayo ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustine (SAUT), Dotto Bulendu na Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO, Abuu Kimario. Mwenyekiti wa Taasisi ya Maendeleo ya Habari Tanzania (TADIO), Prosper Kwigize akielezea jambo wakati wa ziara ya Waandishi wa Habari wa Radio za Kijamii katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO kwa ajili ya kujifunza shughuli za Idara hiyo leo Jijini Dodoma. Waandishi hao wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wa utendaji kazi wao. Kutoka kulia ni Mkufunzi wa Mafunzo hayo ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustine (SAUT), Dotto Bulendu, Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari –MAELEZO anayeshughulikia Habari na Picha, Rodney Thadeus na Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO, Abuu Kimario. Afisa Habari wa Idara ya Habari – MAELEZO, Bi. Beatrice Lyimo akifafanua kuhusu taratibu za namna ya kupata Vitambulisho vya Waandishi wa Habari “Press Card” wakati ziara ya Waandishi wa Habari wa Radio za Kijamii kwa lengo la kujifunza shughuli za Idara hiyo leo jijini Dodoma. Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Radio ya Kijamii Sibuka FM kilichopo Maswa Mkoani Simiyu, Nicholaus Machunda akionyesha Kitambulisho cha Uandishi wa Habari “Press Card” mara baada ya kukamilisha taratibu na kukabidhi wakati wa ziara ya Waandishi wa Habari wa Radio za Kijamii katika Ofisi ya Idara ya Habari – MAELEZO leo Jijini Dodoma. Waandishi hao wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wa utendaji kazi wao. Baadhi ya Waandishi wa Habari toka Radio za Kijamii wakifuatilia maelezo ya Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari –MAELEZO anayeshughulikia Habari na Picha, Rodney Thadeus wakati wa ziara yao ya kujifunza namna Idara ya Habari – MAELEZO inavyofanya kazi leo Jijini Dodoma. Waandishi hao wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wa utendaji kazi wao. Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Radio ya Kijamii Pambazuko FM ya Ifakara Morogoro, Amina Mrisho akichangia mada wakati wa ziara ya Waandishi wa Habari wa Radio za Kijamii katika Ofisi ya Idara ya Habari – MAELEZO leo Jijini Dodoma. Waandishi hao wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wa utendaji kazi wao. Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari –MAELEZO anayeshughulikia Habari na Picha, Rodney Thadeus (kushoto) akiagana na Mkufunzi wa Mafunzo hayo ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustine (SAUT), Dotto Bulendu mara baada ya kumaliza mazungumzo na Waaandishi wa Habari za Radio za Kijamii walipotembelea Idara hiyo kwa lengo la kujifunza leo Jijini Dodoma. Waandishi hao wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wa utendaji kazi wao. Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari –MAELEZO anayeshughulikia Habari na Picha, Rodney Thadeus (kulia) akiagana na Mwenyekiti wa Taasisi ya Maendeleo ya Habari Tanzania (TADIO), Prosper Kwigize mara baada ya kumaliza mazungumzo na Waaandishi wa Habari za Radio za Kijamii walipotembelea Idara hiyo kwa lengo la kujifunza leo Jijini Dodoma. Waandishi hao wapo jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo wa utendaji kazi wao.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527