BASI LA ARUSHA EXPRESS LATEKETEA KWA MOTO


Basi la kampuni ya Arusha Express linalofanya safari zake kati ya Bukoba na Arusha limeungua moto asubuhi ya leo katika maeneo ya Kibeta, Manispaa ya Bukoba. 


Hakuna madhara kwa binadamu yaliyoripotiwa wala chanzo cha moto huo hakijajulikana.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post