RAIS MAGUFULI AWASAMEHE WALIONUNUA KOROSHO KWA MTINDO WA KANGOMBA


Rais Dkt.John Pombe Magufuli ametoa msamaha kwa watu walionunua korosho kwa mtindo wa Kangomba iwapo watakiri kujihusisha na mtindo huo na kuwaonya wasirudie tena kosa hilo kwa msimu ujao.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post