KUTANA NA MWANAMKE ANAYEFANYA MAPENZI NA MIZIMU..ADAI ANASIKIA RAHA KULIKO KUFANYA NA BINADAMU WA KAWAIDA

Anaitwa Amethyst Realm Mwanamke Kutoka Uingereza, Amewahi lalamika katika Kipindi cha Televisheni cha 'This Morning' cha ITV ya Uingereza kwamba Amefanya Mapenzi na zaidi ya Mizimu 20.

Anasema Kisanga Kiliamza Mwaka 2005 Akiwa na Miaka 15 Ambapo yeye Pamoja na Familia yake Walipohamia Katika Nyumba Mpya na Baada ya Siku chache akaanza Kuhisi Mtu Anamshikashika Usiku Huku Hamuoni na Kupelekea kufanya nae Mapenzi, na Hali hiyo iliendelea Kumtokea Kwa Miaka Mingi.

Anasema Ilianza kama Nguvu fulani hivi Inampapasa, Baadae Akawa anaona Kabisa Anahemewa Mihemo Maeneo ya Shingoni na Anashikwashikwa Sehemu za Mwili wake Usiku bila Kumuona anaemshika na Baadae Wanafanya Mapenzi.

Hali hii anasema Ilimtokea Kwa Miaka Mingi hadi Siku Moja Alipomtembelea Mpenzi wake, na Mpenzi Wake Alipokua Anarudi Nyumbani Usiku Alikuta Kivuli Kinakimbia Kupitia Dirishani na Akahisi Alikua na Mwanaume Ndani na Hapo ndipo ilikua mwisho wa Mzimu huo Kuja.

Amethyst Anasema Alimwambia Mpenzi wake Asihangaike Kumfatilia Kwasabu Asingempata kwakua hakua Mtu wa Kawaida bali Ulikua ni Mzimu, Baada ya Kuambiwa Hvyo Jamaa Akapaki Mabegi Akasepa!!. .
.
Amethyst anasema Alikua Anahisi kabisa Ladha ya Penzi huku Anaemfanya Haonekani na Alikua Amefanya Mapenzi Mara nyingi sana na Mizimu zaidi 20 tofauti na Hadi Anaiambia ITV Mwaka 2017 Anasema Alikua Anaujauzito Alioupata Kwa njia hiyo na Chaajabu ni Kwamba Alionyesha Kuridhia Kuendelea na Mahusiano yake na Mizimu!. .
.
"Ni Kweli Hauwezi (Mzimu) Kuninunulia Maua au Kunitoa Kwenda Sehemu Kufurahi lakini Furaha Ninayoipata Kwake Ni Special, Naota Ndoto nzuri na Najihisi Furaha" - Amethyst .
.
"Wakati wa Tendo Nahisi Miguso na Raha ya Ajabu Huku Anaenifanya Simuoni na Kuna Muda Hua Nashangaa Nageuzwa Kabisa Kufanyishwa Mapenzi Styles Tofautitofauti" - Amethyst .
.
"Nimewahi Sikia Mara nyingi juu ya Jambo hili la Mwanamke Kulala na Viumbe Wasioonekana Usiku na Sasa Ninahisi nina Ujauzito wa Viumbe hao" Alisema Amethyst. .
.
"Sio Pekeangu tuu Nilie Katika Mahusiano na Mzimu, Nasikia Habari Nyingi kama Hizi Watu huenda Sehemu Fulani Kukutana na Wapenzi wao ambao ni Mizimu" - Amethyst

Hali hii ya Kushiriki Mapenzi na Mzimu inaitwa 'Spectrophilia'. #Love

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post