Live : RAIS MAGUFULI AKIWAAPISHA MAWAZIRI WAPYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, leo Machi 04, anawaapisha Dk. Augustine Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527