SUGU AACHIWA KWA DHAMANA POLISI



Mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Mhe. Joseph Mbilinyi 'Sugu' ameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi jioni, Mbunge huyo alishikiliwa tangu majira ya saa 1 asubuhi leo hii alhamisi tarehe 21 Februari, 2019 kwa kosa la kuongea na wananchi wake ambao walilalamika kuhusiana na changamoto ya vitambulisho vya wamachinga na Mbunge kuwaahidi kuwa atapeleka suala lao Bungeni, Mbunge Sugu ametakiwa kuripoti tena Polisi Siku ya kesho Ijumaa, muda wa Saa 4 asubuhi.

Habari - CHADEMA 

Kanda ya Nyasa

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527