WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI KIGOMA KWA ZIARA YA KIKAZI
Saturday, February 16, 2019
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiwapungia wananchi wakati walipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kigoma kuanza ziara ya kikazi mkoani humo, Februari 16, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Brigedia Jenerali Mstaafu, Emmanuel Maganga wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kigoma kuanza ziara ya kikazi mkoani humo, Februari 16, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin