UJUMBE WA GODZILLA KABLA YA KUFA ' HATA NIKIFA LEO JINA LANGU LITABAKIA'


Msanii Godzilla ambaye amefariki dunia alfajiri ya leo, alizungumza juu ya kifo chake siku chache zilizopita, kwenye mtandao wa twitter ambao alikuwa akipenda sana kuutumia.

Kwenye ukurasa wake mnamo Februari 9,2019 Godzila aliandika ujumbe kuwa hata kama akifa, jina lake litaendelea kubaki kwa watu, jambo ambalo limetafsiriwa kama alikuwa anakaribia kufikwa na umauti.
 
Hata hivyo Godzilla aliendelea kutumia ukurasa huo mpaka jana saa 9 alasiri, ambapo alitweet ujumbe wake wa mwisho, ambao ulisomeka hivi.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527