KAGAME ATEULIWA KUWA MWENYEKITI MPYA WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI - EAC
Saturday, February 02, 2019
Rais wa Rwanda, Paul Kagame ameteuliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Rais Kagame amechukuwa nafasi ya Rais wa Uganda, Yoweri Museveni aliyemaliza muda wake.
Akizungumza Ijumaa Februari Mosi, 2019 jioni baada ya kutangazwa kwake katika mkutano wa wakuu wa nchi za jumuiya hiyo unaofanyika jijini Arusha nchini Tanzania, Kagame amesema ataitumikia vyema jumuiya hiyo.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin