FIFA YAMFUNGIA MAISHA MICHAEL WAMBURA KUJIHUSISHA NA MPIRA WA MIGUU


Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limetangaza kumfungia Michael Wambura maisha.

Kifungo hicho kinamfanya Wambura kutojihusisha na soka maisha.

Hukumu hiyo ya kamati ya maadili ya Fifa inaelezwa kukazia ile hukumu ya kamati ya rufaa ya TFF ambayo Wambura licha ya kuwa Makamu Mwenyekiti wa TFF, hakutakiwa kujihusisha na soka.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527