OLE GUNNA SOLSKJAER NA UNAI EMERY KUKUTANA IJUMAA HII EMIRATES FA CUP


Raundi ya 4 ya michuano ya Emirates FA CUP, kuanza kupigwa Ijumaa hii ambapo kwa mara ya kwanza Ole Gunna Solskjaer na Unai Emery wanakutana, ni katika pambano la FA Emirates Cup, Je ni kocha gani kuanza kuandika rekodi ya ushindi dhidi ya mwenzie?

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527