DIAMOND NA MPENZI WAKE WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI COMORO


Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz amekutana na balozi wa Tanzania nchini Comoro.

Katika hafla hiyo Diamond alikuwa ameongozana na mpenzi wake kutoka nchini Kenya, Natasha.

"Earlier today when i visited the Tanzanian Embassy in Comoros,"ameandika Diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527