MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AMTEMBELEA FREDRICK SUMAYE NYUMBANI KWAKE NA KUMPA POLE
Sunday, November 18, 2018
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassa leo amemtembelea na kumpa pole Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Fredrick Sumaye nyumbani kwake Endasak, Hanang kufuatia kufiwa na Mama yake mzazi.
Bibi Elizabeth Gisa Sumaye alifariki tarehe 7 Novemba 2018.
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin